Mashariki mwa Rwanda: Watu wanne wauawa kwa risasi kwa tuhuma za wizi


Habari Mpya

Watu wanne amabao majina yao hayajatambulika bado wameuawa na wanajeshi walikuwa kwa ulinzi usiku Wilayani Rwamagana. kaskazini mwa Rwanda.

Kuna taarifa kundi hilo la watu likuwa katika mambo ya wizi na kukamtwa halafu wakajaribu kupamabana na wanajeshi.

Polisi Mkoa wa Mashariki imehakikisha taarifa hizo lakini jeshi limekata kujua taarifa hizo.

Msemaji wa jeshi la Rwanda Luteni Kanali. Innocent Munyengango amesema hajui kuhusu hilo. Ameahidi atatujulisha atakapojua taarifa hizo.

Pia kuna habari nyinge kwamba kasikazini kuna watu watatu pia ambao wamepigwa risasi wakijaribu kuvuka mpaka kwa biashara marufuku.



Habari...

Leave a Comment

Who are you?
Your post
  • This form accepts SPIP shortcuts [->url] {{bold}} {italic} <quote> <code> and the HTML code <q> <del> <ins>. To create paragraphs, simply leave blank lines.

Kibarua cha habari