Wafanyakazi saba wa Wilaya ya Rubavu walifukuzwa kazini jana tarehe 17 Disemba baada ya mkutano wa viongozi mbalimbali.
Wameandika barua za kujiuzulu ila hawakutangaza mengi nini kilichosababisha uamuzi huo katika vyombo vya habari.
Hata hivyo, kisa hiki ni baada ya ziaara ya kikazi ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Prof. Anastase Shyaka wilayani humo.
Waziri Shyaka alisema kulikuwepo vuruguvurugu miongoni mwa viongozi wilayani, jambo linalozuia miradi ya serikali kutekelezwa.
Isangize abandi
Tanga igitekerezo