Mwanamke Sylivie Muneza amewea wazi kuwa ametimiza miaka 21 akiwa na virusi vya ukimwi.
Kwenye mkutano wa Kimataifa juu ya ugonjwa wa ukimwi, Muneza amesema ” Aliambukizwa virusi vya ukimwe mwaka 1998. Kulikuwa karantni kwa kutoka majirani, ndugu,na wengine.” Muneza amesema
” Nilitaka nijiue kwa ajali ya gari, lakini haikuwezekana.” Ameongeza
Ameshukuru shukuru serikali kwa kutoa msaada kama vile dawa na mengine.
Amesisitiza hana woga wowote kuweka wazi ushahidi wake kuhusu anavyoishi.


