Familia ya watu 5 Wilayani Nyamagabe, kusini magaharibi mwa Rwanda imesema kwamba imeishi kwa miaka 5 ikiishi katika nyuma isiyo na paa.
Mke UWAMARIYA MUKASHYAKA, na mumewe, BAYAVUGE Emmanuel an watoto wao watatu wanaishi katika nyumba isiyo na mabati.
Wamesema kuwa ” Mvua inawanyeshea kila ikinyesha.”
Kiongozi wa Mambo ya Kijamii Wilayani Nyamagabe, Mujawayezu Prisca amesema hajui tatizo la familia hii.
Amesema hilo si ajabu kwani kuna wengi ambao hata hawana makazi.


