Kigali: Mashabiki wampiga mchezaji kwa shutuma za ulozi

Sangiza iyi nkuru

Mashabiki wa Timu ya APR wawili wamekamatwa na kufungwa juu ya kumpia mchezaji wa Timu ya Gicumbi FC, Mghana, Vanderpuije Daniel.

Wawili walimpiga jana tarehe3 Disemba baada ya kutoka sare kati ya timu hizo mbili.

Ofisi ya Uendeshamashtaka nchini Rwanda, RIB, imetangaza kumeanzishwa upelelezi kuhusu kisa hicho na watuhumiwa ambao hawakutajwa majina watasimama kizimbani watakapoonekana kuwa na hatia.

Hata hivyo, hakuna tangazo lolote lililotloewa na Timu ya APR kukema jambo la mashabiki wa timu hiyo ya jeshi.

Soma Izindi Nkuru

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *