Rais Kagame apendekeza mwanamke kuchua mikoba yake

Sangiza iyi nkuru

Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema hadharani kuwa anataka mwanamke achukue mikoba yake.

Alisema hilo jana wakati wa mkutano wa Mushikirano mjini Kigali.

” Muongeze mwondo, sijui wanavyodhani wanaume lakini nafasi hii nigenpenda ichukuliwe na mwanamke.” alisema Kagame

Kwa sasa wengi wanajiuliza miongoni mwa wanawake nani anaweza kuwa Rais wa Rwanda.

Soma Izindi Nkuru

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *